Mkurugenzi wa Azam FC, Yussuf Bakhresa (kulia) akimkabidhi Kombe Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker baada ya hafla ya benki hiyo kuongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuidhamini klabu hiyo kwa mwaka wa tano iliyofanyika makao makuu ya taasisi hiyo ya kifedha mjini Dar es Salaam leo
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed akimkabidhi jezi ya timu, Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed akibadilishana nyaraka na udhamini na Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed akisaini mkataba na Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker. Kulia ni Mkurugenzi wa Azam Fc, Yussuf Bakhresa.
Hapa ni Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker na Nahodh wa Azam FC, Himid Mao (kulia)
Liverpool 1-0 Real Madrid PLAYER RATINGS: Who had a 'coming-of-age
performance'? Who now looks back to their best? And which star did nothing
of note?
-
LEWIS STEELE AT ANFIELD: Liverpool once again got one over on Real Madrid
at Anfield on Tuesday night, suggesting that the Reds may well have turned
a corn...
39 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment