Kocha wa AC Milan, Gennaro Gattuso akitembea kibabe baada ya timu ya kushinda 2-0 ugenini jana dhidi ya wenyeji, Roma Uwanja wa Olimpico mabao ya Patrick Cutrone dakika ya 48 na Davide Calabria dakika ya 74 katika mchezo wa Serie A, Italia. Milan watakutana na Arsenal ya kocha Mfaransa, Arsene Wenger katika 16 Bora ya UEFA Europa League wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment