Kocha wa AC Milan, Gennaro Gattuso akitembea kibabe baada ya timu ya kushinda 2-0 ugenini jana dhidi ya wenyeji, Roma Uwanja wa Olimpico mabao ya Patrick Cutrone dakika ya 48 na Davide Calabria dakika ya 74 katika mchezo wa Serie A, Italia. Milan watakutana na Arsenal ya kocha Mfaransa, Arsene Wenger katika 16 Bora ya UEFA Europa League wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lagos urges calm after over 12 hours of heavy rainfall, tells residents to
be at alert
-
By Lukman Olabiyi Lagos State Government has appealed for calm among
residents following more than 12 hours of continuous heavy rainfall across
the state...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment