Kevin Gameiro akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao pekee la ushindi dakika ya saba tu ikiwalaza Copenhagen 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Denmark PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment