Kevin Gameiro akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao pekee la ushindi dakika ya saba tu ikiwalaza Copenhagen 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Denmark PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment