Sergio Ramos (katikati) akifurahia na wenzake na jezi yenye namba 550 baada ya kucheza mechi ya 550 Real Madrid usiku wa jana ikishinda 3-1 dhidi ya wenyeji, Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque katika mchezo wa La Liga. Ramos alifunga bao la tatu dakika ya 90 kwa penalti, baada ya Lucas Vazquez kufunga la kwanza dakika ya 11 na Casemiro la pili dakika ya 29, baada ya Bustinza kuanza kuwafungia wenyeji dakika ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephen A. Smith's daughter makes rare TV appearance for awkward ESPN
interview before NBA Finals
-
The analyst was performing his ESPN duties alongside Elle Duncan on the
floor of Gainbridge Fieldhouse when Game 6 of the NBA Finals turned into
'Bring you...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment