Nyota wa Barcelona, Sergi Roberto akikabidhiwa jezi yenye maandishi ya mkataba mpya aliosaini ambao utauweka katika klabu hiyo hadi mwaka 2022 na klabu ikimtaka italazimika kumnunua kwa Pauni Milioni 440. Hii inazima tetesi za mchezaji huyo kutaka kwenda kuungana na kocha wa zamani wa Barca, Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham is AGAIN caught in x-rated rant at an official - just days
after Thomas Tuchel admitted his own mother is REPULSED by Real Madrid
star's on-pitch behaviour
-
Bellingham shouted at the official amid an increased focus on his sometimes
brash behaviour after England boss Thomas Tuchel admitted his mother
sometimes ...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment