Nyota wa Barcelona, Sergi Roberto akikabidhiwa jezi yenye maandishi ya mkataba mpya aliosaini ambao utauweka katika klabu hiyo hadi mwaka 2022 na klabu ikimtaka italazimika kumnunua kwa Pauni Milioni 440. Hii inazima tetesi za mchezaji huyo kutaka kwenda kuungana na kocha wa zamani wa Barca, Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A cultural revolution? Trump’s America feels oddly familiar to those
watching from China
-
Demands of absolute loyalty and attacks on institutions have raise memories
of Mao-style chaos from US watchers in China
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment