Wachezaji wa Simba, beki Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) na kiungo Said Ndemla (kushoto) wakiwa kwenye ufukwe wa bahari mjiji Djibouti City baada ya mazoezi leo asubuhi kabla ya safari ya kurejea Dar es Salaam kufuatia jana kuwafunga wenyeji, Gendarmerie Tnare 1-0 katika mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-0 baada ya ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani
Umahi: Tinubu spends ₦445.8bn on South East superhighway
-
From Isaac Anumihe, Abuja The Minister of Works, David Umahi, has directed
all regional directors of the Federal Ministry of Works to compile a
comprehen...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment