Nyota Mbrazil, Neymar akiugulia maumivu Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris dakika ya 80 jana kabla ya kutolewa kwa machela timu yake, Paris Saint-Germain ikishinda 3-0 dhidi ya Marseille katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa mabao ya Kylian Mbappe dakika ya 10, Rolando aliyejifunga dakika ya 27 na Edinson Cavani dakika ya 55. Neymar sasa yuko shakani kucheza mechi ya marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid mjini Paris baada ya kufungwa 3-1 Februari 14 mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ENGLAND VS INDIA SERIES RATINGS: Who was box office, who led from the front
and who will head to the Ashes with a question mark over his head?
-
India completed one of the most dramatic Test match victories ever seen on
British soil, squaring the series with a stunning six-run victory after
Chris Wo...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment