Wapenzi wa klabu ya Simba wakiwa wamembeba mwenzao wa kike aliyepoteza fahamu jana wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-0
Kama anavyoonekana dada huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa taabani
Hapa wanambeba wanampeleka kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa
Kwa umoja wa hali ya juu, wapenzi wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wenye raha jana kutokana na ushindi mnono wa 5-0
Police deploy 700 officers, drones, dogs and horses - and make stadium a
no-fly zone - in huge operation to stop unrest at Aston Villa vs Maccabi
Tel Aviv after Israeli fans were BANNED
-
West Midlands Police will also deploy drones, dogs, horses and 'protest
liaison officers' at a match from which away fans are banned. A no-fly zone
will al...
26 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment