YANGA WALIVYOWAFUATA SAINT LOUIS LEO, MECHI NI JUMATANO
Wachezaji wa Yanga wakiwa kwenye ndege leo wakati wa safari ya kwenda mjini Victoria nchini Shelisheli kwa ajili ya mchezo wa marudiano na wenyeji, Saint Louis Suns United hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika Jumatano mjini humo
Hapa ni Uwanja wa Ndege wa Nairobi wakiunganisha ndege kwa safari yao
0 comments:
Post a Comment