Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akipiga penalti kuifungia Atletico Madrid dakika ya 51 kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramón Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine alifunga dakika za 42 na 81, wakati Diego Costa alifunga dakika ya 29 na Koke dakika ya 65, huku mabao ya wenyeji yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 85 na Nolito dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment