Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za tano, 44 na 76 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Lionel Messi mawili dakika za 30 na 36 na Philippe Coutinho dakika ya 66, wakati la Girona limefungwa na Cristian Portu dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment