Ofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jemadari Said (kushoto) akimkabidhi mshambuliaji na Nahodha wa Simba, John Bocco tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Januari mwaka huu
John Bocco ambaye ni majeruhi kwa sasa, alikabidhiwa tuzo hiyo pamoja na king'amuzi cha Azam TV kabla ya mchezo wa Ligi Kuu baina ya timu yake, Simba SC na Mbao FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba imeshinda 5-0
Minnesota visits Seattle, seeks 25th victory this season
-
Minnesota Lynx (24-5, 16-2 Western Conference) at Seattle Storm (16-13, 9-7
Western Conference)
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment