Ofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jemadari Said (kushoto) akimkabidhi mshambuliaji na Nahodha wa Simba, John Bocco tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Januari mwaka huu
John Bocco ambaye ni majeruhi kwa sasa, alikabidhiwa tuzo hiyo pamoja na king'amuzi cha Azam TV kabla ya mchezo wa Ligi Kuu baina ya timu yake, Simba SC na Mbao FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba imeshinda 5-0
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
29 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment