Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 33 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Arsenal usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Man City ambayo Jumapili iliifunga 3-0 tena Arsenal katika fainali ya Kombe la Ligi Uwanja wa Wembley, yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 15 na David Silva dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Excellent prospect' Ngumoha stars for Liverpool - but who is he?
-
Liverpool's second youngest ever player Rio Ngumoha shines again in
pre-season to get fans wondering if he could be part of the first team this
year.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment