Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 33 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Arsenal usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Man City ambayo Jumapili iliifunga 3-0 tena Arsenal katika fainali ya Kombe la Ligi Uwanja wa Wembley, yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 15 na David Silva dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Prostitutes, police charges, public sex acts: Incredible sordid truth about
the NFL 'love boat' scandal... amid Vrabel-Russini drama
-
While the controversy surrounding Vrabel and Russini has captivated social
media over the last month, it's far from the first time that an illicit
nautical...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment