Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger akisikitikia kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Manchester City ya kocha Mspaniola, Pep Guardiola usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates London. Hiki ni kipigo cha pili mfululizo Man City wanaipa Arsenal ndani ya siku tano baada ya Jumapili kuifunga 3-0 katika fainali ya Kombe la Ligi England Uwanja wa Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
De'Aaron Fox set to sign eye-watering $229m contract as he becomes one of
league's top earners
-
An NBA star has agreed to an eye-watering maximum contract extension with
the Spurs, according to a report.
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment