Marcelo Brozovic akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la tatu dakika ya 60 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A usiku wa Jumanne Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Inter yamefungwa na Joao Cancelo dakika ya tatu, Mauro Icardi dakika ya 49 na Ivan Perisic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment