Shane Duffy (kushoto) wa Brighton & Hove Albion akiwa juu kuwania mpira na Harry Kane wa Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussexnd timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Kane alianza kuifungia Spurs dakika ya 48 kabla ya Pascal Gross kuwasawazishia wenyeji kwa penalti dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The unique bond which led Newcastle fans to wear red and white
-
Newcastle United meet Athletic Club in the Champions League on Wednesday -
and Magpies fans still talk about an away day in 1994 they will never
forget.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment