Thomas Muller akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 52, 64 na 78 katika ushindi wa 6-2 wa Bayern Munich dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani usiku wa Jumanne Uwanja wa BayArena mjini Leverkusen. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na Robert Lewandowski dakika ya tatu na sita na Thiago Alcântara dakika ya 61, wakati ya Bayer Leverkusen yamefungwa na Lars Bender dakika ya 16 na Leon Bailey dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New footage reveals the moments before football manager collapsed and died
mid-match, leaving his players in disbelief, as it emerges he 'complained
about fish he had eaten' hours before
-
Mladen Zizovic, 44, collapsed on the side of the pitch 22 minutes into
Radnicki 1923's match against Mladost on Sunday evening, and later passed
away after...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment