Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 23 kwa penalti na 35 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya CSKA Moscow kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Aaron Ramsey (kulia) dakika ya tisa na 28, wakati la CSKA Moscow limefungwa na Aleksandr Golovin dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Matildas coach Joe Montemurro DEFENDS the decision to hand Sam Kerr back
the captain's armband
-
Matildas coach Joe Montemurro has defended the decision to return the
captain's armband to Sam Kerr following Australia's 3-0 defeat to England
at Pride Pa...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment