Bondia Mmarekani, Deontay Wilder 'Bronze Bomber' akiondoka kurejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha mpinzani wake, Tyson Fury 'Gipsy King' katika raundi ya 12 Alfajiri ya leo ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, Marekani. Hata hivyo, Muingereza Fury aliyecheza vizuri, aliinuka na kumalizia pambano na matokeo yakawa droo, Wilder aliyemuangusha mpinzani wake raundi ya tisa pia anabaki na mkanda wake wa uzito wa juu wa WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hulk Hogan's estranged daughter Brooke reveals why she snubbed WWE legend's
funeral
-
Hogan's devastated friends and family gathered at the Indian Rocks Baptist
Church in Largo, Florida to say their final goodbyes to the WWE legend
after his...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment