Wachezaji wa Manchester City wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika ya 120 katika fainali nzuri iliyofanyika Uwanja wa Wembley usiku wa jana. Waliofunga penalti za Manchester City ni İlkay Gundogan, Sergio Aguero, Bernardo Silva na Raheem Sterling, wakati Leroy Sane pekee alikosa huku za Chelsea zikifungwa na Azpilicueta, Emerson na Edin Hazard huku Jorginho na David Luiz wakikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope, Bumrah, Bashir - how England v India will be won and lost
-
BBC Sport and data analysts CricViz look at the key battles that could
decide the outcome of the England v India Test series.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment