Sokratis Papastathopoulos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 60 ikiilaza BATE Borisov 3-0 Uwanja wa Emirates mjini London usiku wa jana katika mchezo wa hatua ya 32 Bora UEFA Europa League. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Zakhar Volkov aliyejifunga dakika ya nne na Shkodran Mustafi dakika ya 39 na kwa matokeo hayo, Arsenal inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 kufuatia kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza nchini Belarus PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment