Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 45 akimalizia pasi ya Marcus Rashford kufuatia kumsetia Ander Herrera kufunga bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London kwenye mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la FA England na kwa matokeo hayo Mashetani Wekundu wanatinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Qarabag vs Chelsea - Champions League: Live score, team news and updates as
Enzo Maresca rings the changes for long trip to Azerbaijan
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Azerbaijani side Qarabag host Chelsea at Tofiq Bahramov Stadium
in the C...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment