Mshambuliaji wa Yanga SC, Edibily Jonas Lunyamila (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba SC, Mathias Mulumba katika mchezo wa Kombe La Hedex Juni 30, mwaka 1996 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Yanga ilishinda 2-0, mabao ya Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ na Lunyamila aliyekuwa anacheza mechi hiyo akitokea Ujerumani ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa
How Jamie Melham went from 'little fat kid' to winning the Melbourne Cup
after battling back from white powder and Covid scandals
-
Jamie Melham will forever be etched in Australian racing record books
following her triumph in the Melbourne Cup on board Half Yours - but it
could have be...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment