Mshambuliaji Mkorea, Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 47 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jan Vertonghen dakika ya 83 na Fernando Llorente dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL club president confesses to hitting one of his team's all-time greats
with an astonishing F-bomb insult
-
Essendon president David Barham has admitted to the harsh exchange with a
premiership-winning hero and hall of famer.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment