Winga Mjerumani, Leroy Sane akipongezwa na wachezaji wenzake, David Silva na Phil Foden baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Newport County kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Rodney Parade mjini Newport. Mabao mengine ya Manchester City yamefungwa na Foden mawili dakika ya 75 na 89 na Riyad Mahrez dakika ya 90 na ushei, wakati la Newport limefungwa na Padraig Amond dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle 2-0 Athletic Bilbao: Magpies banish ropey domestic form to thrive
in Champions League again as powerful Dan Burn and Joelinton headers secure
win
-
OLIVER HOLT AT ST JAMES' PARK: The words of a haunting ballad, set to the
melody of the House of the Rising Sun, drifted out of a shop selling
Newcastle Un...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment