Refa Guillermo Cuadra akimuonyesha kadi nyekundu Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos dakika ya 90 kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano katika mchezo wa La Liga dhidi ya Girona leo Uwanja w Bernabeu. Girona wameshinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Cristhian Stuani kwa penalti dakika ya 65 baada ya Ramos kunawa mpira na Portu dakika ya 75, wakati la Real Madrid limefungwa na Casemiro dakika ya 25. Real Madrid inayobaki na pointi zake 45, sasa inazidiwa pointi 10 na Barcelona wanaongoza La Liga na pointi mbili na Atletico Madird wanaofuatia baada ya wote kucheza mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees fans demand Aaron Boone is fired as season hits new low and stands
of the brink of catastrophe
-
New York Yankees fans are demanding Aaron Boone is fired as season hits a
new low and stands of the brink of catastrophe following the franchise's
sweep at...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment