Pedro akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 57 kabla ya Kieran Trippier kujifunga dakika ya 84 kuwapa ushindi wa 2-0 The Blues dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London na kwa ushindi huo kikosi cha Maurizio Sarri kinafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 kikiendelea kushika nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
  
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment