Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 43 kabla ya Gareth Bale kufunga la pili dakika ya 78, yote kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Levante ambayo bao lake lilifungwa na Roger Marti dakika ya 60 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 48 ikiendelea kushika nafasi ya tatu, nyuma ya Atletico Madrid yenye pointi 50 na Barcelona pointi 57 baada ya wote kucheza mechi 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New footage reveals the moments before football manager collapsed and died
mid-match, leaving his players in disbelief, as it emerges he 'complained
about fish he had eaten' hours before
-
Mladen Zizovic, 44, collapsed on the side of the pitch 22 minutes into
Radnicki 1923's match against Mladost on Sunday evening, and later passed
away after...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment