Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 17 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la kwanza dakika ya sita The Gunners ikiilaza 2-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 ikirejea nafasi ya nne kwa kuizidi pointi moja Manchester United ambayo leo imelazimishwa sare ya bila kufungana na Liverpool Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts 2-0 Aberdeen: Flying start fuels high hopes that Derek McInnes can
disrupt natural order
-
As Tony Bloom talks the talk about his lofty ambitions for Hearts, Derek
McInnes and his players indicated they are ready to walk the walk in the
Premiership.
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment