Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 17 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la kwanza dakika ya sita The Gunners ikiilaza 2-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 ikirejea nafasi ya nne kwa kuizidi pointi moja Manchester United ambayo leo imelazimishwa sare ya bila kufungana na Liverpool Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Predictor picks: Find out who our expert is backing this weekend... and
play the game with £1,000 up for grabs
-
Predictor is our simple, free-to-play competition where you can win big
cash prizes, with £1,000 up for grabs weekly. Guess the winner of six
Premier Leagu...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment