Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City kwa penalti dakika ya 59 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya West Ham United usiku wa jana Uwanja wa Etihad na kwa matokeo hayo mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 68 katika mechi ya 28 wakiendelea kuzidiwa pointi moja na vinara Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment