Kipa Hugo Lloris wa Tottenham Hotspur akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Donny van de Beek kuipatia bao pekee la ushindi Ajax dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Timu hizo zitarudiana Mei 8 na mshindi wa jumla atakuwa atakutana na mshindi wa jumla baina ya Barcelona na Liverpool kwenye fainali Juni 1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup winner Bern sets 'bigger, better, faster, stronger' goals
-
England and Bristol prop Sarah Bern on her aim to get "bigger, better,
faster, stronger" this season for the PWR club.
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment