Kipa Hugo Lloris wa Tottenham Hotspur akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Donny van de Beek kuipatia bao pekee la ushindi Ajax dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Timu hizo zitarudiana Mei 8 na mshindi wa jumla atakuwa atakutana na mshindi wa jumla baina ya Barcelona na Liverpool kwenye fainali Juni 1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wayne Rooney's son Kai bumped up three age levels as he is named in Man
United squad for international tournament featuring PSG
-
Kai has taken a major step in his budding football career after earning a
shock call-up to United's Under-19 squad for the prestigious Mladen Ramljak
Tourn...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment