Washambuliaji Raheem Sterling na Sergio Aguero wakimpongeza beki na Nahodha wao, Vincent Kompany baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 70 ikiilaza 1-0 Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 95 baada ya kucheza mechi 37 na kurejea tena kileleni mwa Ligi Kuu ikiizidi pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brooke Hogan claims late father Hulk feared marrying his wife Sky over
Scientology links
-
In an interview where Brooke fought tears, she said: 'She's (Sky) nice, and
she's cool (at the beginning), and, you know, I don't really want to go
into to...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment