Washambuliaji Raheem Sterling na Sergio Aguero wakimpongeza beki na Nahodha wao, Vincent Kompany baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 70 ikiilaza 1-0 Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 95 baada ya kucheza mechi 37 na kurejea tena kileleni mwa Ligi Kuu ikiizidi pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-0 Real Madrid PLAYER RATINGS: Who had a 'coming-of-age
performance'? Who now looks back to their best? And which star did nothing
of note?
-
LEWIS STEELE AT ANFIELD: Liverpool once again got one over on Real Madrid
at Anfield on Tuesday night, suggesting that the Reds may well have turned
a corn...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment