Sadio Mane akifikiri amefunga baada ya kumlamba chenga kipa Joel Coleman wa Huddersfield, lakini refa akasema Msenegali huyo alichezewa rafu na kukataa bao hilo. Liverpool ilishinda 2-0 Uwanja wa John Smith, mabao ya Marko Grujic na Alberto Moreno kwa penalti na ingeweza kushinda 3-0 kama Philippe Coutinho asingekosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James McClean confirms he DID throw a punch at Cardiff fan...and reveals why
-
Wrexham star James McClean has confirmed he threw a punch at a Cardiff fan
in self-defence before last week's all-Wales encounter in the Carabao Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment