Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane akijifuta usoni kwa masikitiko baada ya timu yake kulazimishwa sare ya 1-1 na Eibar katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Fran Rico alianza kuifungia Eibar dakika ya sita kabla ya Gareth Bale kuwasawazishia wenyeji dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This is the unbelievable moment an injured serpent eagle flew into a MOVING
car as the driver was filming a holiday vlog.
-
A vlogger filming in Tanay, Rizal, Philippines was stunned when an injured
serpent eagle flew through an open window and into his moving car during
his fir...
59 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment