Leroy Sane akimrukia mgongoni mkongwe, Yaya Toure kumpongeza baada ya kufunga bao la nne kwa penalti dakika ya 67 Manchester City ikiwachapa 4-0 wenyeji, West Ham United usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yalifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 17, David Silva dakika ya 21 na Gabriel Jesus dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves 'set to appoint Rob Edwards after agreeing £2m fee with
Middlesbrough for boss' - and Premier League strugglers 'will give new boss
funds in January to turn miserable season around'
-
Wolves are expected to appoint Middlesbrough manager Rob Edwards as their
new boss on a three-and-a-half-year deal, according to reports.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment