Gary Cahill (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 87 ikiwafunga wenyeji, Stoke City 2-1 Uwanja wa Bet365 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England na kupaa kileleni kwa pointi 13 zaidi. Willian alianza kuifungia Chelsea dakika ya 13, kabla ya Jonathan Walters kuisawazishia Stoke kwa penalti dakika ya 38, kufuatia Cahill kucheza faulo kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NRL star who was knocked out in distressing scenes as he tried Australia's
most dangerous new sport gives an update on his condition
-
The 36-year-old had been participating in the RUNIT Championship League
event in Dubai.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment