Winga wa Leicester City, Riyad Mahrez akijaribu kuwapita wachezaji wa West Ham leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa London. Leicester imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Mahrez dakika ya tano, Robert Huth dakika ya saba na Jamie Vardy dakika ya 38, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manuel Lanzini dakika ya 20 na Andre Ayew dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
DBS Paylah $3 cashback at hawker stalls, heartland shops returns from 12
July; Tuas Checkpoint accident: 23-year-old motorist taken to hospital:
Singapore live news
-
Welcome to Yahoo Singapore's live updates, your guide to some of the most
compelling stories unfolding across the digital universe and beyond.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment