Cristiano Ronaldo akimpongeza Casemiro baada ya kuifungia Mbrazil huyo kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 68 ikiilaza 2-1 Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria, Bilbao. Karim Benzema alianza kuifungia timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane dakika ya 25, kabla ya Aritz Adruriz kuwasawazishia wenyeji dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Ince is arrested and charged with drink driving after former Man
United and England star crashed into a central reservation
-
EXCLUSIVE BY MIKE KEEGAN: The 57-year-old former England captain was
arrested after a black Range Rover smashed into a central reservation in
Cheshire near...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment