Lionel Messi na Antonella Roccuzzo wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha kwenye kapeti jekundu jana baada ya kufunga ndoa ya kifahari katika jengo la Rosario City Center mjini Rosario, Argentina. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Arngentina anayechezea klabu ya Barcelona ya Hispania amemuoa mpenzi wake wa tangu utotoni, ambaye tayari amezaa naye watoto wawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a Tory MP 37 years ago has inspired a Labour MP’s ‘stalking horse’
leadership challenge to Starmer
-
NEWS ANALYSIS: Political editor David Maddox looks at how Sir Anthony
Meyer’s challenge to Margaret Thatcher in 1989 is now being played out in
2026 by Cat...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment