Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 82 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Atletico Madrid walioangulia kwa bao la Saul Niguez dakika ya 21 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Title leader Norris takes Sao Paulo sprint pole
-
Lando Norris secures pole position for the Sao Paulo Grand Prix sprint race
with McLaren team-mate and title rival Oscar Piastri in third.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment