Jupp Heynckes mwenye umri wa miaka 72 jana akiiongoza kwa mara ya kwanza Bayern Munich baada ya kurejea kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti aliyeondolewa ikishinda 5-0 dhidi ya Freiburg katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena. Mabao yalifungwa na Kingsley Coman, Thiago, Robert Lewandowski, Joshua Kimmich la kujifunga la Julian Schuster PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kieran Foran's final footy game - as NRL legend prepares for his next
challenge as an assistant coach with the Manly Sea Eagles
-
Kieran Foran will sign off with one of rugby league's most deserved
farewells on Sunday night - and 15 hours later begin life as an NRL
assistant coach wit...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment