Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary MLB manager and Hall of Famer Bobby Cox dead at 84 as tributes
pour in
-
His death comes as a devastating second blow to the franchise in less than
a week, following the recent passing of legendary former owner Ted Turner.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment