Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy legend's partner gives a shattering account of his last moments as
she tried to save his life with CPR as meth killed him: 'I was screaming at
him to keep his eyes open'
-
The grieving partner of former AFL premiership-winning star Adam Hunter has
revealed the devastating details of what happened on the night of February
4 th...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment