Mashabiki wa Simba wakiwa wenye huzuni baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Stand United Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam uliomalizika kwa sare ya 3-3 jioni ya leo
Jamaa wa kushoto alishindwa kujizuia na kujikuta anabubujikwa na machozi
Wenzake walijitahidi na kuishia kununa tu, lakini hawakudondosha tone la chozi
Shabiki huyu alikuwa akitoa maneno makali kwa wachezaji wa Simba kwa kuruhusu Stand kupata sare
Sura za mashabiki hawa wa Simba baada ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, timu hizo zikiwa zimefungana 2-2
CJ Allen explains why No. 53 was the perfect fit with Colts
-
CJ Allen did not expect to wear No. 53 when he arrived at rookie minicamp
with the Indianapolis Colts, but the number quickly began to feel
meaningful for ...
10 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment