Mashabiki wa Simba wakiwa wenye huzuni baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Stand United Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam uliomalizika kwa sare ya 3-3 jioni ya leo
Jamaa wa kushoto alishindwa kujizuia na kujikuta anabubujikwa na machozi
Wenzake walijitahidi na kuishia kununa tu, lakini hawakudondosha tone la chozi
Shabiki huyu alikuwa akitoa maneno makali kwa wachezaji wa Simba kwa kuruhusu Stand kupata sare
Sura za mashabiki hawa wa Simba baada ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, timu hizo zikiwa zimefungana 2-2
Pedri Weighs In on Ballon d’Or Favorites and Sends Strong Message on
Midfielders
-
Spanish Star Reflects on Season and Reveals Key Factor Behind His FormPedri
Weighs In on Ballon d’Or Favorites and Sends Strong Message on
MidfieldersBarce...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment