Mshambuliaji Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa amebebwa na Marko Arnautovic wakati wakishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao la kusawazisha dakika ya 73 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesar Azpilicueta dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SIR CLIVE WOODWARD: Why this England line-up is so disappointing, from the
Marcus Smith muddle to the unnecessary changes all over the pitch - and the
worrying impact it could have on our World Cup chances
-
I'm a big fan of Steve Borthwick. But I have to be honest and say I'm
disappointed in his team selection for the match against Fiji.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment