Mshambuliaji Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza 3-2 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Welbeck amefunga mabao mawili leo, la kwanza dakika ya 38 kufuatia Pierre-Emerick Aubameyang kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 28, wakati mabao ya Southampton yamefungwa na Shane Long dakika ya 17 na Charlie Austin dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Enzo Maresca has changed half his team EVERY game after tinkering
Chelsea boss bemoaned Club World Cup impact on his injury-hit squad... so,
how many have YOUR team made?
-
The west Londoners face a tough battle to secure an all-important spot in
the top eight of the Champions League group, with tricky ties against
Barcelona a...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment