Mshambuliaji Luis Suarez (kushoto) akimuambia kitu mwenzake, Lionel Messi aliyeipa mgongo kamera wakati wa mazoezi ya Barcelona ikijiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Roma leo Uwanja wa Olimpico mjini Roma. Barca ilishinda 4-1 kwenye mechi ya kwanza wiki iliyopita Uwanja wa Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What a reporter found when she investigated US military strikes on
Venezuelan drug boats
-
GÜIRIA, Venezuela (AP) — Regina Garcia Cano was the reporter behind The
Associated Press’ story that provided the first comprehensive account and
identifie...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment