Wachezaji wa Chelsea wakimkimbilia mwenzao, kiungo Ruben Loftus-Cheek kumpongeza baada ya kufunga bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya nne na kwa ushindi huo Chelsea inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 14 na kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Juve target Man Utd's Sancho - Saturday's gossip
-
Juventus eye Manchester United winger Jadon Sancho, Crystal Palace defender
Marc Guehi makes Liverpool stance clear, PSG told fee for Illia Zabarnyi by
Bou...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment