Wachezaji wa Chelsea wakimkimbilia mwenzao, kiungo Ruben Loftus-Cheek kumpongeza baada ya kufunga bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya nne na kwa ushindi huo Chelsea inafikisha pointi 31 baada ya kucheza mechi 14 na kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Las Vegas Aces’ ‘crown is getting heavier’ in disappointing opening loss to
Mercury
-
LAS VEGAS — The 2025 season was proof that the Las Vegas Aces, and this
core in particular, know how to flip the switch. The Aces fell to .500 with
one mon...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment