Leroy Sane akishangilia na Gabriel Jesus baada ya kuifungiaa mabao mawili Manchester City dakika za 45 na ushei na 61 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Hoffenheim usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Ethad. Bao pekee la Hoffenheim lilifungwa na Andrej Kramaric kwa penalti dakika ya 16 na Man City imemaliza na pointi 13 kileleni mwa kundi ikifuatiwan na Lyon ya Ufaransa yenye pointi nane na zote zinafuzu 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FIFA hit by 'major class-action lawsuit' by players' group who are seeking
BILLIONS in compensation over transfer rules after EU law breach last year
-
A group of current and former footballers are reportedly set to take legal
action against FIFA over the world football governing body's current
transfer ru...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment