Leroy Sane akishangilia na Gabriel Jesus baada ya kuifungiaa mabao mawili Manchester City dakika za 45 na ushei na 61 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Hoffenheim usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Ethad. Bao pekee la Hoffenheim lilifungwa na Andrej Kramaric kwa penalti dakika ya 16 na Man City imemaliza na pointi 13 kileleni mwa kundi ikifuatiwan na Lyon ya Ufaransa yenye pointi nane na zote zinafuzu 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SIR CLIVE WOODWARD: Why this England line-up is so disappointing, from the
Marcus Smith muddle to the unnecessary changes all over the pitch - and the
worrying impact it could have on our World Cup chances
-
I'm a big fan of Steve Borthwick. But I have to be honest and say I'm
disappointed in his team selection for the match against Fiji.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment