Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 44 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya sita ikiilaza 2-0 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bristol 42-24 Leicester: Louis Rees-Zammit scores and Tom Jordan impresses
on league debuts but Bears facing up to major injury crisis
-
ALEX BYWATER AT ASHTON GATE: Louis Rees-Zammit and Tom Jordan marked their
Bristol league debuts with a try and a stand-out display respectively amid
a Bea...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment