Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 44 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya sita ikiilaza 2-0 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League cult hero Jimmy Bullard falls short in his bid to qualify
for The Open, saying he 'couldn't find anything'
-
Bullard competed at the regional qualifying event at Rochester and Cobham
Park, with the former Fulham, Wigan, and Hull City player carding a three
over pa...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment