Kocha Zinedine Zidane akiwa haamini macho yake jana baada ya Real Madrid kuchapwa kwa mara ya kwanza chini yake, ikifungwa 2-1 na Valencia katika mchezo wa La Liga usiku wa jana hicho kikiwa kipigo cha tisa kwa timu hiyo msimu huu kwenye ligi hiyo. Mabao ya Valencia yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 35 na Ezequiel Garay dakika ya 83, wakati la Real Madrid ambayo sasa inazidiwa pointi 13 na Barcelona inayoongoza La Liga, lilifungwa na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Constitution amendment: Zonal hearings will be inclusive, Senate leader
assures
-
From Adesuwa Tsan, Abuja Senate Leader Opeyemi Bamidele has assured
Nigerians that the forthcoming zonal public hearings on the proposed
amendments to th...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment