Kocha Zinedine Zidane akiwa haamini macho yake jana baada ya Real Madrid kuchapwa kwa mara ya kwanza chini yake, ikifungwa 2-1 na Valencia katika mchezo wa La Liga usiku wa jana hicho kikiwa kipigo cha tisa kwa timu hiyo msimu huu kwenye ligi hiyo. Mabao ya Valencia yalifungwa na Goncalo Guedes dakika ya 35 na Ezequiel Garay dakika ya 83, wakati la Real Madrid ambayo sasa inazidiwa pointi 13 na Barcelona inayoongoza La Liga, lilifungwa na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steelers hold on to win NFL's first game in Dublin
-
The Pittsburgh Steelers hold on for a thrilling 24-21 win over the
Minnesota Vikings as the NFL staged a historic game at Dublin's Croke Park
on Sunday.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment